Kwa nini kuna ‘Matoleo’ mengi ya Biblia?
Hivi majuzi nilikuwa msikitini nikisikiliza mafundisho ya imamu. Alisema kitu ambacho kilikuwa kibaya kabisa na cha kupotosha sana. Alichosema nimesikia mara nyingi kabla – kutoka kwa marafiki zangu wazuri. Na pengine wewe pia umesikia hili… Kwa nini kuna ‘Matoleo’ mengi ya Biblia?